Faida za GILIGILIANI katika AFYA ya BINADAMU

Share:
. Inazuia Ugonjwa wa (UTI.) Yaani Urinary tract infection

 Inapunguza  cholesterol mbaya mwilinI

Huondoa chunusi na madoa kwenye ngozi

Inawezesha usagaji mzuri wa chakula mwilini

. Huondoa gesi kwenye utumbo mwembamba  ambayo mara nyingi husababishwa na vyakula tunavyokula hivyo hupunguza utoaji  gesi chafu (kunyampa) kwa kiasi kikubwa sana

Inaondoa maumivu,muwasho,na uvumbe(antinflammatory)

Inashusha sukari kwenye damu.(lower blood sugar)

Inazuia magojwa ya tumbo yasabaishwayo na bacteria 

aina ya Salmonella.moja ya magonjwa haya ni kuumwa 

tumbo na kuhara.

Inazui kutapika na hali ya kuvurugika tumbo