UMUHIMU WA KUTUMIA MAJANI YA TUNDA LA STAFERI
Majani ya stafeli yana faida zifutazo katika mwili wa binadamu
- Ni tiba ya asili ya maumivu ya mishipa, yasage majani yake mpaka yalainike kabisa kisha paka taratibu eneo la mshipa lililo na maumivu mara 2 kwa siku
- Huongeza kinga ya mwili
- Hutibu maumivu ya nyuma ya mgongo/low back pain
- Hutibu jipu na vivimbe
- Hurekebisha usawa wa kiasi cha damu sukari mwilini
- Huongeza stamina ya mwili na kurahisisha kupona haraka unapokuwa mgonjwa
- Hutibu maumivu ya jongo/gout
- Hudhibiti ukuwaji wa bacteria, virusi, vijidudu nyemelezi
-