FAHAMU FAIDA ZA MTI WA MNYONYO

Share:

Mnyonyo (KiSwahili) Erand (KiHindi) Kastorka (KiRusi) ni mmea wa jamii ya Mbono Kaburi, kwa jina la kitaalamu Japtropha
  • faida za mnyonyo na mazao yake.

    Majani ya mnyonyo
    yanaweza kutumika kama tiba ya ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB), kukanda (massage) ili kuondoa maumivu na majani haya yakifungwa kwenye mguu unaouma huleta nafuu hasa kwa maumiviu yanayokuja baada ya kuteguka, pia hutumika kutibu uvimbe kwa wanyama.

    Kwikwi

    Ili kuweza kutibu kwikwi, Jaza maji kwenye kikonyo, mpe mgonjwa anywe kila baada ya dakika 3 mpaka kwikwi iishe.

    Suluhisho ya Kaswende na Kisonono
    Ponda  mizizi  ya    mti  wa  mnyonyo, kisha  chemsha  na  tumia  kunywa  glasi moja  mara  mbili  kwa  siku  kwa  muda  wa  siku  saba

    Kuondoa Kondo La  Nyuma

    Mizizi  ya  mti  wa  mnyonyo  ikitafunwa  na  mama  mjamzito  yafaa kwa  kutoa  mfuko  wa  uzazi  ( kondo  la  nyuma  )  kwa  urahisi  na usalama  zaidi

    Tahadhari:

    Mnyonyo ni mti wenye sumu inayoweza kuua binadamu au wanyama endapo itatumika kuzidi kipimo.
       - Mazao yoyote yatokanayo na mnyonyo huhatarisha au/na kuharibu mimba na hata kuweza kusababisha kifo cha mjamzito, hivyo, matumizi yake lazima yawe ya uangalifu mkubwa.

       -