Tunda
hili lina faida kubwa katika mwili wa mwanaadamu. Na faida za tunda
la apple ni kama zifuatazo.
Maumivu
ya kichwa
Tunda
hili lina faida katika maumivu
ya kichwa. Apple lilowiva unatakiwa
ulimenye
maganda yake, halafu ule kwa kutia chumvi kidogo kila siku asubuhi
kabla ya kula kitu chochote, na uendelee kufanya hivi kwa muda wa
wiki mbili.
Anaemia
Tunda
la apple lina madini
ya iron, arsenic na phosphorus, kwa mtu
mwenywe ugonjwa huu inafaa kutengeneza
juice ya apple . Inashauriwa kunywa
glass mojaya juisi ya apple
kabla kula chakula (nusu saa kabla) na pia kabla ya kwenda kulala
usiku.
High
Blood Pressure
Apple linasaidia
katika kuongeza kutoa (secreation) mkojo ambapo
husaidia kurudisha blood
pressure katika hali ya kawaida,
pia inasaidia kupungua kwa sodium chloride katika figo.
Dysentery
Kwa
watoto wanaosumbuliwa na maradhia
ya ghlabu ,
inashauriwa
kumpa kila wakati kipande cha apple kwani huzuia hali ya ugonjwa huo.
Meno
kila
baada chakula kula apple moja, maana
tunda hili husaidia sana
kuyasafisha na kuyaepusha meno
na vijidudu na kuoza.
Matatizo
ya tumbo
Kuna
matatizo tofauti ya tumbo, kwahivo tunda hili limekusanya matatizo
yote ya tumbo na kuondoa matatizo hayo. Changanya apple, asali kidogo
na ufura kidogo na kula kabla chakula hiki
husaidia kuondoa matatizo ya tumbo kama vile usagaji mdogo wa chakula
na mengine.
Kuharisha
na kutapika
Mwenye
kutokezewa na ugonjwa huu ni vizuri sana kutumia tunda hili na
Kila siku ale mawili
pia kama yatapikwa au kuchomwa ni mazuri zaidi kwani hulainisha
cellulose.