FAHAMU MAGONJWA YANAYOTIBIKA KWA MBEGU ZA MABOGA

Share:

Mbegu za maboga  zina wingi protini na madini ya kutosha ambayo ni muhimu sana katika miili yetu.
Madini yanayopatikana katika mbegu za maboga kama vile zinki, kopa, maginizia, manganizi na chuma. 
Tafiti mbalimbali zimethibitisha pasipo na shaka kuwa mbegu za maboga zina faida nyingi kiafya na zina uwezo wa kukuepusha na magonjwa hatari

faida za kula mbegu za maboga ni kama zifuatazo
Huboresha akili na kumbukumbu kwa watoto na watu wazima

- Husaiduatia uzalishaji wa maziwa kwa wingi kwa kina mama wanaonyonyesha.
Hivyo kwa mama anenyonyesha anashauriwa kutumia  mbegu za maboga kwa wingi ili kuzalisha maziwa kwa wingi.

- huondoa harufu mbaya ya kinywa na husaidia pia wenye tatizo la kufunga choo au kupata choo

Huondoa sumu mbalimbali mwilini na hasa kwenye figo.

Husaidia kuondokana na matatizo ya unene unaotokana na wingi wa mafuta ( cholestrol) mwilini.

Ni kinga dhidi ya kansa ya kizazi kwa wanaume na wanawake